Aliajiriwa radio tanzania mwaka 1972 na kufanya kazi hapo miaka sita na kisha kwenda ujerumani kujiunga na iliyokuwa ikijulikana kama idhaa ya kiswahili ya redio. Enezeni sera nzuri ili muwavutie wafuasi zaidi.badala ya kulazimisha kila mtu awe mwanaharakati. Vikosi vingi na vifaa vya kijeshi vimeonekana kuvuka mipaka ya burundi na kuingia congo kuungana vikosi vingine kuinyakua goma
Marisol Gonzalez | Scrolller
Tayari hayo yakijiri, jeshi lingine la burundi nchini congo linapambana na waasi wa m23 wakishirikiana vikosi maalumu vya congo.
Siku hiyo nilikuwa nasikiliza dira ya dunia dw swahili kupitia radio free afrika saa saba mchana
Kulikuwa na makala ilikuwa inaelezea jitihada za maendeleo afrika Mtangazaji akamtaja mchumi mmoja wa kizungu akisema kuwa, afrika angalau itakuwa na maendeleo kama ulaya ikifikia mwaka 2070 Kumbuka ilikuwa imebaki kama miaka 65, yaani kutoka. Umeil kheir, mwanamama mtangazaji wa radio dw swahili ya bon ujerumani amestaafu leo
Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa Atakumbukwa kwa sauti yake ya aina yake Mwanamama huyu ni raia wa kisiwa cha comoro Msanii wa kimataifa diamond platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo cha habari cha dw swahili nchini germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari moja kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema wasafi ni wanyonyaji
Diamond amejibu kama ifuatavyo nimekuwa.
Lissu mwenyewe ndie alikosa busara ya kusubiri baada ya kuwasilisha maombi yake kwa mheshimiwa samia suluhu hassan. Miaka ya 2000 mwanzoni, alikuwepo mtangazaji maarufu mwenye mikogo ktk usomaji taarifa za habari na magazeti wa dw kiswahili Aliitwa manase rukungu na sikujua uraia wake hapa africa Alikuja kupotea ghafla na sikumsikia tena hadi leo
Jana mchana dw swahili katika kipindi cha meza ya duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini tanznaia akiwemo john pambalu mwenyekiti wa bavicha, steven wasira kada wa ccm, na abdul nondo mwenyekiti ngome ya vijana act Walikuwa wana mjadala kuhusu 4rs za rais samia kama zinaishi ama zimejifia. Maana itafika mahali chadema mtagombana na kila kundi Maana pia kwenye clip yako umesikika ukiwalaumu viongozi wa taasisi za kidini nchini