Hili jambo limeachisha ndoa nyingi sana,unakuta mtu amechukua simu ya mkewe kwa lengo la kumtengenezea haswa kioo,anapofika kwa fundi mwanaume huomba nywila kwa kisingizio cha. Ushirikiano huu utarahisisha malipo ya tiketi kwa wateja huku ukikuza zaidi matumizi ya malipo. Hizi kampuni tatu simu zao nyingi ni mafamba
Simu Liu and girlfriend Allison Hsu pack on PDA at 20th Unforgettable Gala Asian American Awards
Hivi majuzi nilikua dubai kwa mambo fulani hivi kwenye pita pita nikakutana na hizi simu nikanunua kampuni mojawapo nyingi zinawekwa specification za uwongo mfano 1.storage za uongo
Unakuta imeandikwa storage ni gb 256 ila ukweli ni gb 100.
Simu za kisasa pia zina uwezo wa kupiga picha bila final editing, just usitumie mode ya kawaida switch to pro mode, pia unaweza ukatumia kupiga raw images ambazo final editing inafanywa na program maalum kama light room. Namba ya simu inayotajwa kutumika ni ya mtandao wa halotel na imesajiliwa kwa jina la humphrey herson polepole Kampuni ya halotel inatajwa na sativa kupitia mtandao wa x (twitter) kuwa imehusika katika kucheza mchezo kabla ya watekaji kumnasa polepole. Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni simu gani nzuri kununua kwa bei ndogo, kwa hiyo thread hii itakuonesha simu 5 za kununua kama budget yako ni chini ya laki 4 na simu 5 za kununua kama budget yako ni chini ya laki 3
Hizi ni baadhi tu maana simu zipo nyingi sana ila nitataja chache tu Kuna aina nyingi za simu , baadhi zinafanya vizuri sokoni na nyingine hazifanyi vizuri na zikiwa na sababu tofauti Makala hii itaangazia aina za simu zenye matatizo makubwa ambapo sikushauri kununua ikiwa unahitaji na simu nitakutajia matatizo ya kila simu Simu ambayo inaaminika kuwa ndio simu bora kuwahi kutokea katika historia za utengenezaji wa simu duniani
Ni nokia 3310 ilizinduliwa rasmi katika kipindi ambacho kampuni ya nokia ilikuwa ikiongozwa na mika anttonen (mika anttonen alikuwa ceo wa nokia katika miaka ya mapema ya 2000).
Wasafiri wa ndege nchini tanzania sasa wanaweza kufurahia urahisi wa kulipia tiketi zao kupitia simu za mkononi, kufuatia makubaliano kati ya shirika la ndege la dubai flydubai na kampuni ya network